🎵
Lyricaa

Rapcha - DONT PLAY THIS SONG Lyrics

Discover the lyrics to Rapcha - DONT PLAY THIS SONG. Looking for the lyrics to this track? We’ve got them right here! Explore the words behind Rapcha - DONT PLAY THIS SONG, and feel free to take your time as you read through the song's lyrics.
Explore the Meaning of Rapcha - DONT PLAY THIS SONG Lyrics
      

DONT PLAY THIS SONG
by Rapcha
feat. Leysir Brown

Verse 1

 Smoking everyday hoping I will die sober

 Wallet haijashiba and na nna get much older

 Dunia haina mwenyewe so kataa uoga

 All ass kissers don’t play this song

 Straight up

 Success haiwi overnight

 Ndoto niliyonayo kubwa ila I’m sure haiko oversize

 Ingawa huu ni mziki wa kidunia hata huyo
Shetani asingeweza rap hivi, On God

 Ndoto yangu kubwa kabla ya kutamani nyumba na magari nlitamani kuiona Mbingu

 Mungu akanibariki vingi zaidi ya nyumba na magari na akafanya nkiwa duniani nikaiona Mbingu

 Safina ikirudi mara ya pili sijui kama hata ntapata nafasi

 Wenye nafasi wamejaa ubinafsi

 Binafsi wanangu ntawakumbusha kila asubuhi

 Wasitumie pesa kutafuta vitu ambavyo pesa hainunui

 Iwe normal tu kusema hapana

 Tena of course tunaingia sana hasara kwa kukwepa lawama

 Tena mostly kwa kufurahisha wana

 So ukiona sijawahi kuku’impress don’t play this song

 Cosmas P

 Kila nilichokosa shule nakipata kwenye kila conversation na P

 Nikihema juu ya beat ni Hit

 Ukali wangu upo kwenye ngoma zangu ambazo huzizingatii

Chorus: Leysir Brown

 Sina time ya mchezo Mr devil leo haunipati

 Sitaki kujieleza, sina tena mpango wa kupoteza wakati

 Macho kwenye pay I’m on a mission

 Bado siwezi relax

 Macho kwenye pay

 Mishe mishe ziko macho day and night

 Uuuh uuh

 Uuhh uuh

 Uuuh uuh

 Uuhh uuh

Verse 2

 MVP kwenye pitch I’m a real star

 Sense in everything I spit kwenye each bar

 ‘ucking this game na style zote linakaa

 Hawa Polisi hawaleti peace wanatunyima raha

 Niwe faraja kwenye vilio

 Mi sihitaji kuwa maarufu nahitaji tu dunia nzima inipe sikio

 So ukihisi Mfoy anatafuta ustaa social media wala usipoteze mb don’t play this song

 Na ntapiga billion streams muda ambao wote mtapagawa

 Mkiwa busy kuwalea machawa

 Busy mkijiuliza tu kwanini wasanii hawapatani

 Wakati swali linatoka kwa wanaowagawa

 Hamna power

 Mziki umechange my story

 Sitosahau siku Father P ananipa deal ya over 20 milli

 Kila siku mpya naongezeka akili sio mwili

 Big shoutout whoever play my songs

 Nnavyozidi kwenda juu nazidi kuwa mpweke tu

 Sometimes nacheka mbele ya camera tu

 Sometimes huwa nacheka ili tu nifiche yanayonisibu

 But only God knows what I’m going thru

 Drinking everyday, hoping i will die sober

 Iwe normal tu kusema sitaki

 Binafsi wanangu ntawakumbusha kila asubuhi
Wasitumie pesa kutafuta vitu ambavyo pesa hainunui

hook: Rapcha

 Winning everything i win i win i win

 Win i win i win i win win i win

 I win i win i win i win i win i win i win  

    

Song: DONT PLAY THIS SONG

Artist: Rapcha

Listen on:

YOU MIGHT ALSO LIKE